Psalms 39:1

Maombi Ya Mtu Anayeteseka

(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Yeduthuni. Zaburi Ya Daudi)


1 aNilisema, “Nitaziangalia njia zangu
na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;
nitaweka lijamu kinywani mwangu
wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
Copyright information for SwhKC