Psalms 39:1
Maombi Ya Mtu Anayeteseka
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Yeduthuni. Zaburi Ya Daudi)
1 aNilisema, “Nitaziangalia njia zangu
na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;
nitaweka lijamu kinywani mwangu
wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
Copyright information for
SwhKC